Hi Comrades.
Naomba mnisamehe kwa kutoshiriki katika uwanja huu adhimu kwa siku nyingi, siyo kama sipendi au siwezi kuiba muda kidogo ili ku-share nanyi some important issues but because nilisahau password kutokana na kuwa na mazonge mengi, ikawa kila nikijaribu kuomba administration wanisaidie kukumbuka password yangu, inashindikana.
Ahsanteni nyote mliokuwa mkiniandikia kuniuliza kulikoni na samahanini wote niliowadodesha halafu nikawakatishia bila kumaliza kiu.
Sasa nimerudi nikiwa na ari mpya, nguvu mpya na kasi mpya.
Nawatakia wote heri ya mwaka mpya 2007.
May your happiness increase like fuel price in Tanzania,
And your worries fall like number of votes to the opposition block in Tanzania,
So that your desires bu fulfilled massively like Kikwete's trips abroad.
May your problems vanish like TANESCO's electricity.
I wish u a Happy and Prosperous year - 2007.
Friday, January 19, 2007
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment